KWANINI UTESEKE NA MAGONJWA

 

Posted @withregram • @doctor_mary_na_uzazi Posted @withregram • @doctor_mary_na_uzazi *DALILI 15 ZA HATARI KWA MWANAMKE:* 


Kuna baadhi ya dalili ambazo wanawake *huziona ni za kawaida* na kuzipuuza lakini baada ya muda huona *madhara makubwa* yanayogharimu afya zao za uzazi.


Hapa nimekuwekea baadhi ya dalili ambazo *hupaswi kuzipuuza* pale zinapokutokea.👇


1. Kupata Maumivu makali chini ya

  kitovu yanayo ambatana na maumivu

  ya kiuno,


2. Kuhisi maumivu na hali ya

  kuchomachoma wakati wa haja

  ndogo,


3. Miwasho sehemu za siri ndani au nje

  ya uke,


4. Kutokwa na ute ukeni usio wa

  kawaida, ute huu unaweza kuwa wa

  njano, mweupe, kijani, kahawia, au

  uliochanganyika na damu hizi ni dalili

  za maambukizi katika via vya uzazi,


5. Kupata maumivu makali wakati wa

  tendo la ndoa,


6. Kuhisi kama kuna kitu kinasukumwa

  kinachouma wakati wa tendo la ndoa,


7. Kutokwa na hedhi bila mpangilio,


8. Kupata maumivu makali sana wakati

  wa hedhi,


9. Kutokwa na damu ya hedhi yenye

  mabonge au nyeusi sana,

Post a Comment

0 Comments